SIMBA INAOONGOZA MABAO 2-0 DHIDI YA KIYOVU YA RWANDA

 Mashabiki wa Simba wakiwa na furaha kabla ya kuanza kwa mechi dhidi ya Kiyovu Fc ya Rwanda katika michuano ya kuwania Kombe la Shirikisho Afrika leo kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Simba sasa inaongoza mabao 2-0
Wachezaji wa Kiyovu ya Rwanda wakiomba dua muda mfupi kabla ya kuanza kipute dhidi ya Simba. Kwa hisani ya Blog ya Jamii

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA

NGUVU YA UJASUSI WA TANZANIA KITOVU CHAKE NI IRINGA TANGU ENZI ZA MKWAWA