Mashabiki wa Simba wakiwa na furaha kabla ya kuanza kwa mechi dhidi ya Kiyovu Fc ya Rwanda katika michuano ya kuwania Kombe la Shirikisho Afrika leo kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Simba sasa inaongoza mabao 2-0
Wachezaji wa Kiyovu ya Rwanda wakiomba dua muda mfupi kabla ya kuanza kipute dhidi ya Simba. Kwa hisani ya Blog ya Jamii
Wachezaji wa Kiyovu ya Rwanda wakiomba dua muda mfupi kabla ya kuanza kipute dhidi ya Simba. Kwa hisani ya Blog ya Jamii
Comments