SIMBA INAOONGOZA MABAO 2-0 DHIDI YA KIYOVU YA RWANDA

 Mashabiki wa Simba wakiwa na furaha kabla ya kuanza kwa mechi dhidi ya Kiyovu Fc ya Rwanda katika michuano ya kuwania Kombe la Shirikisho Afrika leo kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Simba sasa inaongoza mabao 2-0
Wachezaji wa Kiyovu ya Rwanda wakiomba dua muda mfupi kabla ya kuanza kipute dhidi ya Simba. Kwa hisani ya Blog ya Jamii

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.