KONGAMANO LA KIGODA CHA MWALIMU NYERERE LANOGA

Mwandishi mkongwe,  Jenerali Ulimwengu akisoma kitabu cha Mwalimu Nyerere kwa washiriki wa Kongamano hilo.


Rais wa awamu ya tatu Benjamini Mkapa (wa pili kulia), akimsikiliza mwandishi mkongwe Jenerali Ulimwengu wakati akipitia yaliyoandikwa kwenye kitabu cha Mwalimu Nyerere kabla ya kuzinduliwa katika Kongamano la nne la kitaaluma la Julius Nyerere lililofikia tamati Ukumbi wa Nkurumah Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM),
 Waziri Mkuu wa zamani, Dk. Salim Ahmed Salim (kushoto) akiwa na akiwa na mwansiasa mkongwe, Joseph Butiku (kushoto kwake) wakisikiliza kwa makini wakati wa kongamano hilo.
 Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa Mukandara (kushoto) akiwa na Profesa Issa Shivji
Mwezeshaji wa Kongamano la Kigoda cha Mwalimu Nyerere, Profesa Micere Mugo (kulia), kutoka Kenya, akikata utepe kuashiria uzinduzi wa kitabu cha  Mwalimu Nyerere kinachoelezea makala na hotuba zake katika Kongamano la nne la Kitaaluma la Julius Nyerere lililofikia tamati Ukumbi wa Nkurumah Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), jana. Kushoto ni Mwenyekiti wa Kigoda cha Nyerere, Profesa Issa Shivji. (PICHA NA DOTTO MWAIBALE)
Baadhi ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), wakitoka baada ya kuhudhuria kongamano hilo.
2696

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

PICHA YA RAIS ILIYOBAMBA WIKI HII

JUA AINA NNE ZA KABILA LA WASUKUMA

18 WAPITISHWA KUGOMBEA UONGOZI YANGA

VIONGOZI BORA BARANI AFRIKA KWA SASA.

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

ZIJUE SIFA ZA WANYAKYUSA WA KYELA NA RUNGWE