Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Jakaya Kikwete, akiwapungia mkono wananchi alipowasili katika sherehe za maadhimisho ya miaka 48 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, leo kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. (PICHA ZOTE NA KAMANDA MWAIKENDA)
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Jakaya Kikwete, akikagua kikosi cha Wanawake cha Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), wakati wa maadhimisho ya miaka 48 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar JK akikagua kikosi cha wanawake Magereza
JK akisalimiana na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda
JK akisalimiana na mke wake, Mama Salma Kikwete
JK akisalimiana na Rais wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Jakaya Kikwete (kulia), akisalimiana na Mjane wa Mwasisi wa Muungano, Rais wa kwanza wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Hayati Abeid Aman Karume, Mama Fatma Karume
JK akiwa na Mkuu wa Majeshi, Jenerali Davis Mwamunyange (katikati) na Makamu wa wake, Dk Bilal wakati wimbo wa taifa ukipigwa.
Jukwaa la viongozi mbalimbali wakati wimbo wa Taiga ukipigwa
Sehemu ya watu waliohudhuria maadhimisho hayo
Wapigapicha wakiwa bize na kazi yao
Warembo wakishuhudia gwaride ikipita kwa heshima mbele ya rais
Watoto wa halaiki wakionesha rangi za bendera ya Taifa
Watoto wa Halaiki wakifanya mambo
Spika wa zamani, Pius Msekwa akisalimiana na Waziri Mkuu, Pinda
Rais wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa akikatiza Jukwaa Kuu
Rais mstaafu wa Zanzibar, Aman Abeid Karume (kulia) akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Ndani, Shamsi Vuai Nahodha.
Baadhi ya waliochanganya udongo wakati wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar 1964, mstari wa kati , wakiwa katika maadhimisho hayo
Kikosi Maalumu cha Magereza (KM), kikionesha umahiri
Moja kofia iliyomdondoka Askari ikiwa chini
Trafiki akiwa ameiokota kofia hiyo
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Jakaya Kikwete, akikagua kikosi cha Wanawake cha Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), wakati wa maadhimisho ya miaka 48 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar JK akikagua kikosi cha wanawake Magereza
JK akisalimiana na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda
JK akisalimiana na mke wake, Mama Salma Kikwete
JK akisalimiana na Rais wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Jakaya Kikwete (kulia), akisalimiana na Mjane wa Mwasisi wa Muungano, Rais wa kwanza wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Hayati Abeid Aman Karume, Mama Fatma Karume
JK akiwa na Mkuu wa Majeshi, Jenerali Davis Mwamunyange (katikati) na Makamu wa wake, Dk Bilal wakati wimbo wa taifa ukipigwa.
Jukwaa la viongozi mbalimbali wakati wimbo wa Taiga ukipigwa
Sehemu ya watu waliohudhuria maadhimisho hayo
Wapigapicha wakiwa bize na kazi yao
Warembo wakishuhudia gwaride ikipita kwa heshima mbele ya rais
Watoto wa halaiki wakionesha rangi za bendera ya Taifa
Watoto wa Halaiki wakifanya mambo
Spika wa zamani, Pius Msekwa akisalimiana na Waziri Mkuu, Pinda
Rais wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa akikatiza Jukwaa Kuu
Rais mstaafu wa Zanzibar, Aman Abeid Karume (kulia) akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Ndani, Shamsi Vuai Nahodha.
Baadhi ya waliochanganya udongo wakati wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar 1964, mstari wa kati , wakiwa katika maadhimisho hayo
Kikosi Maalumu cha Magereza (KM), kikionesha umahiri
Moja kofia iliyomdondoka Askari ikiwa chini
Trafiki akiwa ameiokota kofia hiyo
| Bibi kizee akiondoka baada ya kushuhudia maadhimisho hayo |
Comments