BALOZI BURIAN AWASILISHA HATI ZA UTAMBULISHO SHIRIKA LA MAKAZI DUNIANI

Balozi wa Tanzania nchini Kenya na Mwakilishi wa Kidumu wa kwenye Mashirika ya Umoja wa Mataifa (UN-HABITAT NA UNEP), Dk. Batilda Burian (kulia) akiwasilisha hati za utambulisho kwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Makazi Duniani, Dk. Joan Clos kwenye ofisi za shirika hilo jijini Nairobi leo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA