BALOZI BURIAN AWASILISHA HATI ZA UTAMBULISHO SHIRIKA LA MAKAZI DUNIANI

Balozi wa Tanzania nchini Kenya na Mwakilishi wa Kidumu wa kwenye Mashirika ya Umoja wa Mataifa (UN-HABITAT NA UNEP), Dk. Batilda Burian (kulia) akiwasilisha hati za utambulisho kwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Makazi Duniani, Dk. Joan Clos kwenye ofisi za shirika hilo jijini Nairobi leo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾