BASI LA NBS LA PINDUKA NA KUUA WATU SABA

 Ajali ya basi la kampuni ya N B S lenye namba T 978 ATM Scania,  leo katika eneo la jineri kilomita mbili kabla ya kufika  Igunga Mjini na kuua watu saba papo hapo wakiwepo wanaume watatu na wanawake watatu na mtoto mmoja wa kiume. Basi hilo lilikuwa linatokea mkoani Tabora kuelekea Arusha. (PICHA NA ABDALLAH AMIR)


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

IJUE HISTORIA YA MCHEZAJI MZUNGU WA TANZANIA