BASI LA NBS LA PINDUKA NA KUUA WATU SABA

 Ajali ya basi la kampuni ya N B S lenye namba T 978 ATM Scania,  leo katika eneo la jineri kilomita mbili kabla ya kufika  Igunga Mjini na kuua watu saba papo hapo wakiwepo wanaume watatu na wanawake watatu na mtoto mmoja wa kiume. Basi hilo lilikuwa linatokea mkoani Tabora kuelekea Arusha. (PICHA NA ABDALLAH AMIR)


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.