BASI LA NBS LA PINDUKA NA KUUA WATU SABA

 Ajali ya basi la kampuni ya N B S lenye namba T 978 ATM Scania,  leo katika eneo la jineri kilomita mbili kabla ya kufika  Igunga Mjini na kuua watu saba papo hapo wakiwepo wanaume watatu na wanawake watatu na mtoto mmoja wa kiume. Basi hilo lilikuwa linatokea mkoani Tabora kuelekea Arusha. (PICHA NA ABDALLAH AMIR)


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA