BREAKIIING NEWSSSS, MCHUNGA HATIMAYE AMEJIUZURU YANGA

MWENYEKITI wa klabu ya Yanga, Lloyd Nchunga (pichani), hatimaye amejiuzuru wadhifa huo.

Habari hizi ambazo bado hazijathibitishwa rasmi tumezipata hivi punde kutoka kwenye vyanzo vyetu vya habari.

Kujiuzuru kwakwe kunafuatia shinikizo kubwa kutoka kwa kamati ya wazee wa Yanga, ambao walifanya mkutano wiki iliyopita uliohudhuriwa na zaidi ya wanachama 700 ambao kwa kauli moja walimtaka Mchunga aachie ngazi.

Habari zaidi juu ya hilo tunaahidi kuwajulisha pende.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.