BREAKING NEWS..MBUNGE WA ROMBO JOSEPH SELASINI APATA AJALI AMPOTEZA MAMA YAKE MZAZI

.

Mbunge wa Rombo Joseph Selasini (pichani) amepata ajali eneo la Bomang'ombe kata ya Hai ,Mjini baaday ya gari alilokuwa akiendesha yeye mwenyewe Toyota Land Cruzer lenye namba T 441 DRT kupinduka wakati akiwa anamkwepa mwendesha baiskeli.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka eneo la tukio zinasema kuwa ajli hiyo imetokea majira ya saa 8;49 kuelekea saa 7 ambapo ndani ya gari hilo kulikuwepo na watu sita.

Chanzo cha ajali hiyo klimeelezwa kuwa ni mwendo kasi na pia mbunge huyo alipojaribu kumkwepa mwendesha baskeli ndipo gari hiyo ilipopinduka na kuua watu watatu akiwemo mmaa yake grlory shao na wengine watatu wakijeruhiwa vibaya.

Miiili ya watu waliopoteza maisha imepelekwa hospitali ya mkoa ya Mawenzi huku waliojeuhiwa wakipatiwa matibabu  hospitali ya wilaya ya hai.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA