DK MAHANGA WA CCM AMGARAGAZA MPENDAZOE WA CHADEMA MAHAKAMANI

 Mbunge wa Segerea, Dar es Salaam, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk. Makongoro Mahanga (katikati), akizungumza na vyombo vya habari, muda mfupi baada ya kupata ushindi wa kesi yake  leo katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Dar es Salaam. Kesi hiyo ya kupinga matokeo ya ubunge wake ilifunguliwa na Fred Mpendazoe wa CHADEMA.
 Wafuasi wa CHADEMA wakiandamana Mtaa wa Azikiwe Dar es Salaam, kupinga ushindi wa Dk Mahanga katika kesi hiyo, wakidai hujuma imefanyika kuumpendelea.
 Wafuasi wa CHADEMA, wakionesha ishara ya chama hicho walipokuwa wakiandamana leo jijini Dar es Salaam.
                                                          Maandamano ya wanachadema
 Polisi wakilinda doria kuhakikisha wafuasi wa CCM waliokuwa wakiandamana kushangilia ushindi wa Dk. Mahanga na CHADEMA waliokuwa wakiandamana sambamba na wana CCM Mtaa wa Azikiwe  wasitwangane.
                                              Kwa wafuasi wa CCM ilikuwa ni furaha iliyoje 
                                         Wana CCM wakishangilia na kuwazomea CHADEMA
                              Mama mfuasi wa CCM, akionesha furaha yake ya ushindi wa kesi hiyo
Akina dada wafuasi wa CCM wakishangilia ushindi na kwazodoa wafuasi wa CHADEMA. (PICHA ZOTE NA KAMANDA MWAIKENDA)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

Soma Taarifa ya UTEUZI:Rais Jakaya Kikwete amemteua Dkt. Ben E. Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya PUMA Energy (zamani ilijulikana kama BP Ltd)

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

MAAFISA JENERALI WASTAAFU 17 WA JWTZ WAAGWA.

PICHA YA RAIS ILIYOBAMBA WIKI HII

JUA AINA NNE ZA KABILA LA WASUKUMA

18 WAPITISHWA KUGOMBEA UONGOZI YANGA

BINTI WA KITANZANIA GLORIA MAJULE ASHINDA TUZO YA UANDISHI BORA WA FILAMU YA MALARIA MAREKANI ‎