JK APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO BALOZI WA RWANDA

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipokea hati za utambulisho wa balozi mpya wa Rwanda nchini Tanzania Mhe.Benjamin Ruganguzi wakati wa hafla fupi iliyofanyika ikulu jijini Dar es Salaam leo mchana. Katikati ni Mkuu wa itifaki Balozi Antony Itatiro(picha na Freddy Maro).

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

PICHA YA RAIS ILIYOBAMBA WIKI HII

MAAFISA JENERALI WASTAAFU 17 WA JWTZ WAAGWA.

18 WAPITISHWA KUGOMBEA UONGOZI YANGA

JUA AINA NNE ZA KABILA LA WASUKUMA

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

VIONGOZI BORA BARANI AFRIKA KWA SASA.