MKUTANO WA EPA JIJINI ARUSHA

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara wa Tanzania  Dkt Shaaban Mwinjaka ( Wa nne kutoka kushoto waliokaa) akiwa na Wajumbe wa Mkutano wa Jumuia za kikanda za Afrika zinazojadiliana kuhusu ushirikiano wa kiuchumi kati ya jumuia hizi za Afrika na wenzao wa Ulaya kupitia mkataba wa Ubia wa Kiuchumi (EPA). Mkutano huu wa kwanza kwa mwaka huu, uliandaliwa na Tume ya Umoja wa Afrika kwa kushirikiana na Jumuia ya Afrika Mashariki na kufanyika mjini Arusha Tanzania mwishoni mwa wiki.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

Soma Taarifa ya UTEUZI:Rais Jakaya Kikwete amemteua Dkt. Ben E. Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya PUMA Energy (zamani ilijulikana kama BP Ltd)

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

MAAFISA JENERALI WASTAAFU 17 WA JWTZ WAAGWA.

PICHA YA RAIS ILIYOBAMBA WIKI HII

JUA AINA NNE ZA KABILA LA WASUKUMA

18 WAPITISHWA KUGOMBEA UONGOZI YANGA

BINTI WA KITANZANIA GLORIA MAJULE ASHINDA TUZO YA UANDISHI BORA WA FILAMU YA MALARIA MAREKANI ‎