MNYIKA AIBUKA KIDEDEA MAHAKAMANI

Mbunge wa Jimbo la Ubungo, John Mnyika (kulia), akiwa na Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, wakifurahi katika moja ya shughuli ya burudani nchini.

Mbunge wa  Jimbo la Ubungo kupitia Chadema asubuhi hii ameshinda kesi iliyofunguliwa na Hawa Ng'umbi wa CCM, kupinga ushindi wake katika uchaguzi uliofanyika  Oktoba  2010.

Hukumu hiyo imetolewa katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam.

Habari zaidi tutaendelea kuwaletea punde



Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

PICHA YA RAIS ILIYOBAMBA WIKI HII

JUA AINA NNE ZA KABILA LA WASUKUMA

18 WAPITISHWA KUGOMBEA UONGOZI YANGA

VIONGOZI BORA BARANI AFRIKA KWA SASA.

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

MAAFISA JENERALI WASTAAFU 17 WA JWTZ WAAGWA.