PETER MWENDA WA GAZETI LA MAJIRA AFIWA NA MDOGO WAKE

 Mwandishi wa Habari Mwandamizi wa gazeti la Majira, Peter Mwenda na mkewe akiweka shada la maua kwenye kaburi la mdogo wake, marehemu Antony Mwenda katika makaburi ya Kivule, Dar es Salaam juzi.
 Vijana marafiki wa marehemu Antony Mwenda, wakisawazisha udongo, wakati wa maziko hayo
 Wanakwaya wakiimba nyimbo za maombolezo wakati wa mazishi hayo
 Shemasi wa Kanisa la Katoliki aliyeendesha ibada ya maziko akisimika msalaba kwenye kaburi la marehemu Antoni
                                                     Kaburi la marehemu Antony

                                  Mmoja wa ndugu wa karibu wa marehemu akiweka shada la maua
Baadhi ya ndugu wa marehemu Antony Mwenda wakiwaka shada la maua kwenye kaburi

Aliyekuwa Rafiki wa karibu wa marehemu Antony, Mudy akiweka shada la maua

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

Soma Taarifa ya UTEUZI:Rais Jakaya Kikwete amemteua Dkt. Ben E. Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya PUMA Energy (zamani ilijulikana kama BP Ltd)

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

MAAFISA JENERALI WASTAAFU 17 WA JWTZ WAAGWA.

PICHA YA RAIS ILIYOBAMBA WIKI HII

JUA AINA NNE ZA KABILA LA WASUKUMA

18 WAPITISHWA KUGOMBEA UONGOZI YANGA

BINTI WA KITANZANIA GLORIA MAJULE ASHINDA TUZO YA UANDISHI BORA WA FILAMU YA MALARIA MAREKANI ‎