Mwandishi wa Habari Mwandamizi wa gazeti la Majira, Peter Mwenda na mkewe akiweka shada la maua kwenye kaburi la mdogo wake, marehemu Antony Mwenda katika makaburi ya Kivule, Dar es Salaam juzi.
Vijana marafiki wa marehemu Antony Mwenda, wakisawazisha udongo, wakati wa maziko hayo
Wanakwaya wakiimba nyimbo za maombolezo wakati wa mazishi hayo
Shemasi wa Kanisa la Katoliki aliyeendesha ibada ya maziko akisimika msalaba kwenye kaburi la marehemu Antoni
Kaburi la marehemu Antony
Mmoja wa ndugu wa karibu wa marehemu akiweka shada la maua
Aliyekuwa Rafiki wa karibu wa marehemu Antony, Mudy akiweka shada la maua
Vijana marafiki wa marehemu Antony Mwenda, wakisawazisha udongo, wakati wa maziko hayo
Wanakwaya wakiimba nyimbo za maombolezo wakati wa mazishi hayo
Shemasi wa Kanisa la Katoliki aliyeendesha ibada ya maziko akisimika msalaba kwenye kaburi la marehemu Antoni
Kaburi la marehemu Antony
Mmoja wa ndugu wa karibu wa marehemu akiweka shada la maua
Baadhi ya ndugu wa marehemu Antony Mwenda wakiwaka shada la maua kwenye kaburi |
Aliyekuwa Rafiki wa karibu wa marehemu Antony, Mudy akiweka shada la maua
Comments