TBL YAMZAWADIA BAJAJI WAKALA BORA KANDA YA KASKAZINI


 Meneja  Usambazaji wa Wateja Wakubwa wanaouza bidhaa za Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kanda ya Kaskazini, Fortunatus Alfred  akimkabidhi kadi na funguo za bajaji yenye thamani ya sh. milioni 4,
Mary Kimario  ambaye ameshinda uwakala bora wa usambazaji na uuzaji wa bidhaa za TBL Kanda ya Kaskazini. Hafla hiyo ilifanyika  hivi karibuni mjini Moshi, Kilimanjaro.

 Meneja  Usambazaji wa Wateja Wakubwa wanaouza bidhaa za Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kanda ya Kaskazini, Fortunatus Alfred  akimkabidhi kadi na funguo za bajaji yenye thamani ya sh. milioni 4,
Mary Kimario  ambaye ameshinda uwakala bora wa usambazaji na uuzaji wa bidhaa za TBL Kanda ya Kaskazini. Hafla hiyo ilifanyika  hivi karibuni mjini Moshi, Kilimanjaro.
Mfanyakazi wa Mfanyabiashara ambaye amejishindia Uwakala bora wa bidhaa za Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kanda ya Kaskazini, Mary Kimario akiwa kwenye bajaji yenye thamani ya sh. mil. 4 aliyozawadiwa. Wanaoshuhudia ni baadhi ya ndugu zake na wafanyakazi wa TBL.Hafla hiyo ilifanyika hivi karibuni mjini Moshi, Kilimanjaro.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA