ZANTEL YAMWAGA SIMU 75 KUBORESHA MAWASILIANO ILALA


Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa akipokea msaada wa simu 75 kutoka kwa Mtendaji Mkuu wa Biashara wa Zantel, Ahmed Mokhles kwa ajili ya kusaidia kuboresha mawasiliano katika utoaji  huduma kwa wananchi. Kulia  ni Rashid Tenga, Mkurugenzi wa Kampuni ya Aggrey and Clifford. Hafla ya makabidhiano imefanyika ofisini kwa meya leo .
 

Silaa akitoa shkurani

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA