ZANTEL YAMWAGA SIMU 75 KUBORESHA MAWASILIANO ILALA


Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa akipokea msaada wa simu 75 kutoka kwa Mtendaji Mkuu wa Biashara wa Zantel, Ahmed Mokhles kwa ajili ya kusaidia kuboresha mawasiliano katika utoaji  huduma kwa wananchi. Kulia  ni Rashid Tenga, Mkurugenzi wa Kampuni ya Aggrey and Clifford. Hafla ya makabidhiano imefanyika ofisini kwa meya leo .
 

Silaa akitoa shkurani

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾