DIWANI KATA YA KIVULE ASAIDIA MSONGAMANO WA KUJIANDIKISHA VITAMBULISHO VYA TAIFA

 Diwani wa Kata ya Kivule, Dar es Salaam, Getama Nyansika (kulia) akiwa amezingirwa na wananchi alipokuwa akigawa fomu za kuijiandikisha katika daftari la Vitambulisho vya Taifa leo katika Ofisi ya Serikali ya Mtaa wa Kivule.Nyansika alisaidia sana kupunguza msongamano wa watu uliokuwepo hapo tangu alfajiri.
 Wakazi wa eneo hilo wakiwa katika moja ya mlango wakigombea kuingia kuchukua fomu
                                                Wakiwa kwenye foleni kwenda kujiandikisha ndani
                                   Baadhi yao baada ya kupata foumu wakisoma vizuri maelekezo
Baadhi ya akina mama wakiwemo wazee wakiwa wamekaa wakisubiri zamu ya kuingia kujiandikisha. PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA

Wasifu wa Kizza Besigye

NGUVU YA UJASUSI WA TANZANIA KITOVU CHAKE NI IRINGA TANGU ENZI ZA MKWAWA