DIWANI KATA YA KIVULE ASAIDIA MSONGAMANO WA KUJIANDIKISHA VITAMBULISHO VYA TAIFA

 Diwani wa Kata ya Kivule, Dar es Salaam, Getama Nyansika (kulia) akiwa amezingirwa na wananchi alipokuwa akigawa fomu za kuijiandikisha katika daftari la Vitambulisho vya Taifa leo katika Ofisi ya Serikali ya Mtaa wa Kivule.Nyansika alisaidia sana kupunguza msongamano wa watu uliokuwepo hapo tangu alfajiri.
 Wakazi wa eneo hilo wakiwa katika moja ya mlango wakigombea kuingia kuchukua fomu
                                                Wakiwa kwenye foleni kwenda kujiandikisha ndani
                                   Baadhi yao baada ya kupata foumu wakisoma vizuri maelekezo
Baadhi ya akina mama wakiwemo wazee wakiwa wamekaa wakisubiri zamu ya kuingia kujiandikisha. PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

VIONGOZI BORA BARANI AFRIKA KWA SASA.

UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MSALATO DODOMA KUANZA KUTUMIKA SEPTEMBA 2026

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

ASKOFU GWAJIMA: VIJANA PUUZENI WANAOCHOCHEA VURUGU

SERIKALI YAINGIA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO NA DIT KUIMARISHA USIMAMIZI WA MAAFA