Wachezaji wa Yanga na Mafunzo wakimpepea Juma Mmanga baada ya kuzimia katika mechi ya robo fainali ya kuwania Kombe la Kagame, kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo jioni. Mchezaji huyo aligongana na mchezaji Yanga katika harakati za kuwania mpira. (PICHA ZOTE NA KAMANDA MWAIKENDA)
Msalaba mwenkundi na madakatari wa timu ya Mafunzo wakitoa msaada kwa mchezaji huyo.
Wachezaji wakiwa wamepigwa butwaa
Akipelekwa kwenye ambulance tayari kukimbizwa hospitali kwa matibabu
Msalaba mwenkundi na madakatari wa timu ya Mafunzo wakitoa msaada kwa mchezaji huyo.
Wachezaji wakiwa wamepigwa butwaa
Akipelekwa kwenye ambulance tayari kukimbizwa hospitali kwa matibabu
Comments