MCHEZAJI JUMA MMANGA WA MAFUNZO AZIMIA UWANJANI

 Wachezaji wa Yanga na Mafunzo wakimpepea Juma Mmanga baada ya kuzimia katika mechi ya robo fainali ya kuwania Kombe la Kagame, kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo jioni. Mchezaji huyo aligongana na mchezaji Yanga katika harakati za kuwania mpira. (PICHA ZOTE NA KAMANDA MWAIKENDA)

 Msalaba mwenkundi na madakatari wa timu ya Mafunzo wakitoa msaada kwa mchezaji huyo.
                                      Wachezaji wakiwa  wamepigwa butwaa
                                     Akipelekwa kwenye ambulance tayari kukimbizwa hospitali kwa matibabu

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.