MPAKA SASA YANGA NA MAFUNZO NGOMA SAWA 1-1

Mchezaji Nadir Haroub (kulia) wa Yanga akipiga mpira huku Jaku Juma wa Mafunzo ya Zanzibar akiruka katika mechi ya robo fainali ya kuwania Kombe la Kagame, jioni hii kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Wachezaji wa Mafinzo ya Zanzibar, wakishangilia bao la kuongoza dhidi ya Yanga

                                Kelvin Yondani wa Yanga akiruka kuokoa hatari dhidi ya timu ya Mafunzo

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

DKT. MIGIRO AKIWASHA KAMPENI ZA DKT. SAMIA MAKAMBAKO

MBINU ZITAKAZOKUFANYA USIISHIWE PESA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

KIGOGO WA CHADEMA AHAMIA CCM