MPAKA SASA YANGA NA MAFUNZO NGOMA SAWA 1-1

Mchezaji Nadir Haroub (kulia) wa Yanga akipiga mpira huku Jaku Juma wa Mafunzo ya Zanzibar akiruka katika mechi ya robo fainali ya kuwania Kombe la Kagame, jioni hii kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Wachezaji wa Mafinzo ya Zanzibar, wakishangilia bao la kuongoza dhidi ya Yanga

                                Kelvin Yondani wa Yanga akiruka kuokoa hatari dhidi ya timu ya Mafunzo

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

WALIOKUWA WABUNGE WALIOPITIWA NA MKASI WA WAJUMBE

SPIKA MSTAAFU NDUGAI AFARIKI DUNIA

USAJILI ULIVYO HADI SASA....

MWENYE MASIKIO NA ASIKIE....

RAIS SAMIA AMUONDOLEA POLEPOLE HADHI YA UBALOZI

RAIS SAMIA AYATAKA MASHINDANO YA MISS WORLD 2027

RC KIHONGOSI AELEZA MAFANIKIO LUKUKI MKOA ARUSHA