# KWENYE #MAISHA #YAKO 1. Weka Mipaka ya Heshima (Set Boundaries): Sio kila mtu wa kumsaidia, sio kila mtu anastahili huruma yako. Tofautisha kati ya utu na kupuuzwa. 2. Jifunze Kusema “Hapana”: Ukitaka heshima, usiwe mtu wa ndiyo kwa kila jambo. Ukitumia nguvu zako hovyo, utamaliza heshima yako. 3. Jithamini Kabla Hujathamini Wengine: Usijitoe sadaka kwa watu ambao hata hawakuulizi unaendeleaje. Jiamini, jipende, jikubali. 4. Chagua Mpenzi Mwenye Moyo wa Kuthamini, Sio Kuokoa: Kama mwanamke ana majeraha ya zamani, hakikisha anajiponya mwenyewe. Usijaribu kuwa "daktari wa moyo wake" ukitegemea atakupenda zaidi. 5. Tafuta Misingi ya Maisha Yenye Malengo (Purposeful Living): Usijifungie kwenye kazi au mapenzi tu. Kuwa na maisha yenye dira: ndoto zako, afya yako, marafiki wa kweli. 6. Kua Kifedha na Kisaikolojia (Grow Financially & Emotionally): Jifunze uwekezaji, epuka utegemezi, weka akiba. Pia jifunze kujieleza, kusamehe, kujijenga kihisia. 7. Usikubali Uonevu Kazini a...
Comments