YANGA YAONGOZA 1-0 DHIDI YA APR YA RWANDA

Ubao wa Uwanja wa Taifa, ukionesha Yanga ikiongoza kwa bao 1-0 dhidi ya APR ya Rwanda katika mashindano ya Kombe la Kagame Leo.
Mchezaji Mbuyu Twite wa APR ya Rwanda, akimtoka Said Bahanuz wa Yanga katika mpambano huo leo jioni.
Mashabiki wa Yanga wakishuhudia pambano hilo. Picha na Kamanda Mwaikenda

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

Wasifu wa Kizza Besigye

NAMNA YA KUTENGENEZA MAISHA YAKO KIMYA KIMYA