YANGA YAONGOZA 1-0 DHIDI YA APR YA RWANDA

Ubao wa Uwanja wa Taifa, ukionesha Yanga ikiongoza kwa bao 1-0 dhidi ya APR ya Rwanda katika mashindano ya Kombe la Kagame Leo.
Mchezaji Mbuyu Twite wa APR ya Rwanda, akimtoka Said Bahanuz wa Yanga katika mpambano huo leo jioni.
Mashabiki wa Yanga wakishuhudia pambano hilo. Picha na Kamanda Mwaikenda

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

WALIOKUWA WABUNGE WALIOPITIWA NA MKASI WA WAJUMBE

SPIKA MSTAAFU NDUGAI AFARIKI DUNIA

USAJILI ULIVYO HADI SASA....

MWENYE MASIKIO NA ASIKIE....

RAIS SAMIA AMUONDOLEA POLEPOLE HADHI YA UBALOZI

RAIS SAMIA AYATAKA MASHINDANO YA MISS WORLD 2027

RC KIHONGOSI AELEZA MAFANIKIO LUKUKI MKOA ARUSHA