Ubao wa Uwanja wa Taifa, ukionesha Yanga ikiongoza kwa bao 1-0 dhidi ya APR ya Rwanda katika mashindano ya Kombe la Kagame Leo.
Mchezaji Mbuyu Twite wa APR ya Rwanda, akimtoka Said Bahanuz wa Yanga katika mpambano huo leo jioni.
Mashabiki wa Yanga wakishuhudia pambano hilo. Picha na Kamanda Mwaikenda
Mchezaji Mbuyu Twite wa APR ya Rwanda, akimtoka Said Bahanuz wa Yanga katika mpambano huo leo jioni.
Mashabiki wa Yanga wakishuhudia pambano hilo. Picha na Kamanda Mwaikenda
Comments