GARDNER G.HABASH KUANZA KUSIKIKA REDIO TIMES FM

Mhariri Mkuu wa Redio Times Fm Scolastica Mazula wa pili kutoka kushoto akimtambulisha mtangazaji mpya wa redio hiyo Gardner G. Habash wa kwanza kushoto katika hafla maalum kwa waandishi wa habari leo katika ukumbi wa Sports Lounge.Gardner atakuwa anasikika katika kipindi chaMaskani kitakachorushwa kuanzia saa 10 jioni hadi saa moja usiku.Kulia ni mtangazaji wa Mirindimo ya Pwani Khadija Shaibu 'Dida wa G' na anayemfuatia n i mhariri wa michezo Clifford Ndimbo.
Baadhi ya Majembe yanayopiga mzigo Times Fm 100.5
Hawa nao ni baadhi ya wafanyakazi wa Times Fm. Kwa hisani ya Dina Blog
Tukio muhimuu

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA