MBUNGE MTEMVU AGAWA MSAADA WA VYAKULA VYA SH. MIL 7.8 KWA VITUO 10 VYA YATIMA

 Mbunge wa Jimbo la Temeke, Dar es Salaam, Abbas Mtemvu (kushoto), akimkabidhi Msimamizi wa Kituo cha Kulelea Yatima cha Dar Ularqam  msaada wa vyakula, katika hafla ya kutoa msaada wa vyakula kwa vikundi 10 vya kulelea Yatima, Dar es Salaam juzi. Msaada huo ulitolewa na Mfuko wa Mtemvu Foundation. Wa pili kushoto ni mke wa Mtemvu, Mariam. Wa tatu kushoto ni  mtoto wa mbunge huyo, Sitti ambaye pia alitoa sh. 100,000 kwa kila kikundi.
Mbunge wa Jimbo la Temeke, Dar es Salaam, Abbas Mtemvu (kushoto), akiwakabidhi watoto yatima wanaolelewa katika Kituo cha Hiari, msaada wa vyakula, katika hafla ya kutoa msaada wa vyakula kwa vikundi 10 vya kulelea Yatima, Dar es Salaam juzi. Msaada huo ulitolewa na Mfuko wa Mtemvu Foundation. Wa pili kushoto ni mke wa Mtemvu, Mariam. Wa tatu kushoto ni  mtoto wa mbunge huyo, Sitti ambaye pia alitoa sh. 100,000 kwa kila kikundi.

 Mbunge wa Jimbo la Temeke, Dar es Salaam, Abbas Mtemvu (kushoto), akiwakabidhi watoto yatima wanaolelewa katika Kituo cha Hiari, msaada wa vyakula, katika hafla ya kutoa msaada wa vyakula kwa vikundi 10 vya kulelea Yatima, Dar es Salaam juzi. Msaada huo ulitolewa na Mfuko wa Mtemvu Foundation. Wa pili kushoto ni mke wa Mtemvu, Mariam. Wa tatu kushoto ni  mtoto wa mbunge huyo,Sitti ambaye pia alitoa sh. 100,000 kwa kila kikundi.
                                   Mtemvu akitoa msaada kwa Kituo cha Faraja
Mtemvu akitoa msaada wa vyakula Kituo cha Upendo. (PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

BREAKING NEWS | MKURUGENZI MTENDAJI WA TANESCO AFARIKI DUNIA

BODI YA LIGI YAKIRI MAKOSA, WAIOMBA YANGA WAYAMALIZE

#MAKINIKIA: HEKAYA FUPI YA MJI WA KIHISTORIA WA MOSHI MKOANI KILIMANJARO

HUU NDIO UKWELI ULIVYO RAFIKI YANGU

BODI YA LIGI SASA WAOMBA HEKIMA NA BUSARA ITUMIKE DERBY YA YANGA, SIMBA

RATIBA KAMILI YA HARUSI YA DIAMOND, ZUCHU

ZIJUE TABIA 9 ZA WANAWAKE HAWA....

TANZANIA NI MIONGONI MWA NCHI 10 ZINAZOONGOZA KWA MAZAO YA KILIMO AFRIKA

MWANAMKE ALIYEVUNJA REKODI KWA KUZAA WATOTO 69