NGASSA AKABIDHIWA JEZI NAMBA 16 SIMBA

Mrisho Ngassa (kulia) aliyekuwa Azam FC, akipokea jezi namba 16 kutoka kwa Makamu Mwenyekiti wa Simba SC, Godfrey Nyange (Kaburu) ikiwa ni ishara ya kujiunga rasmi na timu hiyo kwa misimu miwili. Ngassa amekabidhiwa gari na kitita cha sh. milioni 30.Asubuhi ya leo alishiriki na wachezaji wenzie katika mazoezi ya kujenga stamina katika ufukwe wa Coco, Oysterbay Dar es Salaam.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

PICHA YA RAIS ILIYOBAMBA WIKI HII

JUA AINA NNE ZA KABILA LA WASUKUMA

18 WAPITISHWA KUGOMBEA UONGOZI YANGA

VIONGOZI BORA BARANI AFRIKA KWA SASA.

MAAFISA JENERALI WASTAAFU 17 WA JWTZ WAAGWA.

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA