NGASSA AKABIDHIWA JEZI NAMBA 16 SIMBA

Mrisho Ngassa (kulia) aliyekuwa Azam FC, akipokea jezi namba 16 kutoka kwa Makamu Mwenyekiti wa Simba SC, Godfrey Nyange (Kaburu) ikiwa ni ishara ya kujiunga rasmi na timu hiyo kwa misimu miwili. Ngassa amekabidhiwa gari na kitita cha sh. milioni 30.Asubuhi ya leo alishiriki na wachezaji wenzie katika mazoezi ya kujenga stamina katika ufukwe wa Coco, Oysterbay Dar es Salaam.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

KATI YA WATOTO 7 WA HAYATI MAGUFULI ANAYEJULIKANA ZAIDI NI JESCA

AINA 10 ZA WANAWAKE AMBAO BIBLIA INAKUONYA UWAEPUKE

KIKOSI KILICHOITWA TAIFA STARS HIKI HAPA

UBORA UNAONEKANA: BENKI YA NMB YANG'ARA TUZO ZA EUROMONEY 2026

MAJANI YA MAPERA NA MATUMIZI YAKE YA KITIBA

WANAJESHI WAGOMA KWENDA IRAN KUPIGA

MCHIMBAJI MDOGO WA DHAHABU AFANYA MAKUBWA KWENYE HUDUMA ZA AFYA