NGASSA AKABIDHIWA JEZI NAMBA 16 SIMBA

Mrisho Ngassa (kulia) aliyekuwa Azam FC, akipokea jezi namba 16 kutoka kwa Makamu Mwenyekiti wa Simba SC, Godfrey Nyange (Kaburu) ikiwa ni ishara ya kujiunga rasmi na timu hiyo kwa misimu miwili. Ngassa amekabidhiwa gari na kitita cha sh. milioni 30.Asubuhi ya leo alishiriki na wachezaji wenzie katika mazoezi ya kujenga stamina katika ufukwe wa Coco, Oysterbay Dar es Salaam.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI