NGASSA AKABIDHIWA JEZI NAMBA 16 SIMBA

Mrisho Ngassa (kulia) aliyekuwa Azam FC, akipokea jezi namba 16 kutoka kwa Makamu Mwenyekiti wa Simba SC, Godfrey Nyange (Kaburu) ikiwa ni ishara ya kujiunga rasmi na timu hiyo kwa misimu miwili. Ngassa amekabidhiwa gari na kitita cha sh. milioni 30.Asubuhi ya leo alishiriki na wachezaji wenzie katika mazoezi ya kujenga stamina katika ufukwe wa Coco, Oysterbay Dar es Salaam.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA