TBL YAPATA TUZO YA MWANACHAMA MSHIRIKI WA TPSF

 Mwenyekiti wa Taasisi ya African Life Alliance, Dk. Ibrahim Kaduma (kulia), akimkabidhi Meneja Mawasiliano na Habari wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Editha Mushi , tuzo maalumu ya kuitambua TBL kuwa mwanachama mshiriki (Corparate Member) wa Taasisi ya Mfuko wa Sekta Binafsi Tanzania, katika hafla iliyofanyika Dar es Salaam juzi.
 Editha Mushi (kulia)  akiwa miongoni mwa washiriki katika hafla hiyo iliyopfanyika Serena Hoteli na kuratibiwa na Mfuko wa Sekta Binafsi Tanzania.
Editha Mushi (wa nne kushoto mstari wa nyuma) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa TPSF baada ya hafla hiyo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.