WANACHAMA WA SIMBA WACHANGIA SH. MILIONI 36 KUANZA UJENZI WA UWANJA WA MICHEZO BOKO

 Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage, akichangisha fedha kutoka kwa wanachama wa klabu hiyo wakati wa Mkutano Mkuu wa Wanachama uliofanyika jijini Dar es Salaam jana. Jumla ya sh. milioni 36 zilipatanika kwa ajili ya mtaji wa ujenzi wa Uwanja wa michezo huko Boko nje kidogo ya jijini la Dar es Salaam.
Kocha wa Mkuu wa Simba, Milovan Cirkovi, akizungumza mbele ya wanachama wa Simba, wakati wa mkutano wa Klabu hiyo.
 Baadhi ya wanachama wa simba wakiwa katika mkutano huo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.