WANACHAMA WA SIMBA WACHANGIA SH. MILIONI 36 KUANZA UJENZI WA UWANJA WA MICHEZO BOKO

 Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage, akichangisha fedha kutoka kwa wanachama wa klabu hiyo wakati wa Mkutano Mkuu wa Wanachama uliofanyika jijini Dar es Salaam jana. Jumla ya sh. milioni 36 zilipatanika kwa ajili ya mtaji wa ujenzi wa Uwanja wa michezo huko Boko nje kidogo ya jijini la Dar es Salaam.
Kocha wa Mkuu wa Simba, Milovan Cirkovi, akizungumza mbele ya wanachama wa Simba, wakati wa mkutano wa Klabu hiyo.
 Baadhi ya wanachama wa simba wakiwa katika mkutano huo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

MAMBO MADOGO YANAYOVUTIA KWA MPENZI WAKO

DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025

30 TANZANIAN PROJECTS IN THE NEXT 10 YEARS

UWT YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA HOSPITALI YA RUFAA DODOMA