DAUD MWANGOSI SIKU MOJA KABLA YA KIFO CHAKE
katibu wa klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Iringa Frank Leonard (Kulia) akifungua mkutano mkuu wa IPC jana katika ukumbi wa Maktaba ya Iringa katikati ni Daud Mwangosi ambaye alikuwa ni mwenyekiti wa IPC akifikiri jambo
Aliyekuwa mwenyekiti wa IPC Daud Mwangosi (kushoto) akihojiwa na mzee wa matukio daima ambaye ni katibu msaidizi wa IPC juu ya wanahabari kudumisha umoja na mshikamano
Aliyekuwa mwenyekiti wa IPC Daud Mwangosi (kushoto) akihojiwa na mzee wa matukio daima ambaye ni katibu msaidizi wa IPC juu ya wanahabari kudumisha umoja na mshikamano
Comments