Kamati Maalum CCM Zanzibara yakutana Leo

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi,pia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Dk.Ali Mohamed
Shein,akisalimiana na kumpongeza  Mwakilishi mpya wa Jimbo la Bububu
Mh,Hussein Ibrahim Makungu,(kulia) CCM,kwa kushinda uchaguzi mdogo wa
jimbo hilo,alipowasili  katika viwanja vya Ofisi ya CCM Kisiwandui
Mjini Zanzibar,kushiriki katika kikao cha  Kamati maalum ya
Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ya Zanzibar,kilichofanyika leo.
[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

Makamo Mwenyekiti wa CCM na Rais Mstaafu wa Zanzibar
Dk.Amani Abeid Karume,akisalimiana na kumpongeza  Mwakilishi mpya wa
Jimbo la Bububu  Mh,Hussein Ibrahim Makungu,(kulia) CCM,kwa kushinda
uchaguzi mdogo wa jimbo hilo,alipowasili  katika viwanja vya Ofisi ya
CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar,kushiriki katika kikao cha  Kamati
maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ya Zanzibar,kilichofanyika leo.
    [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Makamo Mwenyekiti wa CCM na Rais Mstaafu wa Zanzibar
Dk.Amani Abeid Karume,Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi,pia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Dk.Ali Mohamed
Shein,(wa pili kushoto) Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar pia Mjumbe
wa Kamati Kuu ya CCM Taifa,Balozi Seif Ali Iddi,(kushoto) na Naibu
Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai,kwa pamoja wakiwa wamesimama
kabla ya kuanza kikao cha siku moja cha Kamati maalum ya Halmashauri
Kuu ya CCM Taifa ya Zanzibar,kilichofanyika leo  katika ukumbi wa CCM
Kisiwandui Mjini Zanzibar.  [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Wajumbe wa Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM
Zanzibar,wakiwa katika kikao cha siku moja chini ya Mwenyekiti wake,
Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais Mstaafu wa Zanzibar Dk.Amani
Abeid Karume,wakiwa   katika ukumbi wa CCM Kisiwandui Mjini
Zanzibar,kilipofanyika kikao hicho leo.  [Picha na Ramadhan
Othman,Ikulu.]

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA