WASHINDI 42 WA DROO YA TIGO SMART CARD WAPATIKANA

 Ofisa wa Kampuni ya Tigo, David Sekwao (kushoto),  akibofya kwenye kompyuta kupata mmoja wa washindi 42 wa droo kwanza ya mwezi ya Jumuiya ya Tigo smart card, Dar es Salaam leo. Anayeshuhudia kulia ni Ofisa Mkaguzi kutoka Bodi ya Taifa ya Kusimamia Michezo ya Kubahatisha, Humud Abdulhussein.
Ofisa Uhusiano wa Tigo, Tully Mwaikenda, akizungumza katika mkutano huo. Kulia ni Meneja wa Intaneti wa Tigo, Titus Kafuma.
                                       Titus Kafuma akitoa maelezo kwenye mkutano huo
 Ofisa wa Kampuni ya Tigo, David Sekwao (kushoto),  akibofya kwenye kompyuta kupata mmoja wa washindi 42 wa droo kwanza ya mwezi ya Jumuiya ya Tigo smart card, Dar es Salaam leo. Anayeshuhudia kulia ni Ofisa Mkaguzi kutoka Bodi ya Taifa ya Kusimamia Michezo ya Kubahatisha, Humud Abdulhussein.
                                      Waandishi wa habari wakiwa kazini katika mkutano huo

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA