DAR LIVE KIOTA CHA BURUDANI.

Watoto wakijiachia ndani ya Dar Live wakati wa sikukuu ya krismas, kabla ya Ndonga za mwaka kuanza kati ya mabondia Mbwana Matumla na David Charanga kutoka Kenya, bondia Mada Maugo na Yiga Juma wa Uganda na Bahati Mwafyela aliyechapana na Chupaki Chipindi. Baada ya ndondi hizo wakali Diamond Platinumz na Ommy Dimpoz wakashusha shoo bab kubwa ndani ya ukumbi huo.

Kutesa kwa zamu saivi zamu yetu jioni zamu yen

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

CHINYELE ACHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE DODOMA MJINI

MWANDISHI WA HABARI SAGGAF ACHUKUA FOMU ZA UBU/NGE DODOMA MJINI