SAFARI YA WANAHABARI KWENDA MTWARA KWENYE KONGAMANO LA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF)

Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari nchini wakisafiri kutoka Dar es Salaam kwenda Mtwara kwenye Kongamano la Nane la Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) la kujadili tafiti zilizofanywa na wanahabari hao katika Halmashauri 26 nchini.Tafiti hizo zilihusu matumizi ya fedha za michango yamfuko huo na CHF.


Basi la Hamanju likiwa limesimama kwa matengenezo madogo katika Kijiji cha Kilimahewa wilayani Mkuranga Pwani likiwa limepakiwa wanahabari hao.
Wanahabari wakisubiri moja ya mabasi hayo litengezwe katika Kijiji cha Kilimahewa
Barabara Kuu ya Dar es Salaam-Mtwara eneo la Kibiti, wilayani Rufiji , Pwani.
Abiria wa moja ya mabasi wakihaha kuingia kwenye basi lingine baada ya basi hilo kuharibika wilayani Mkuranga




Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

KATI YA WATOTO 7 WA HAYATI MAGUFULI ANAYEJULIKANA ZAIDI NI JESCA

KIKOSI KILICHOITWA TAIFA STARS HIKI HAPA

AINA 10 ZA WANAWAKE AMBAO BIBLIA INAKUONYA UWAEPUKE

UBORA UNAONEKANA: BENKI YA NMB YANG'ARA TUZO ZA EUROMONEY 2026

MAJANI YA MAPERA NA MATUMIZI YAKE YA KITIBA

WANAJESHI WAGOMA KWENDA IRAN KUPIGA

MCHIMBAJI MDOGO WA DHAHABU AFANYA MAKUBWA KWENYE HUDUMA ZA AFYA