Kanisa la Sharom Ministries lililopo Sheha ya Kihanga, Zanzibar, leo asubuhi limechomwa moto na watu wasiojulikana.
Watu hao ambao walishamiria kuchoma kanisa lote,Wameteketeza viti vyote vya kanisa hilo. Hakuna madhara zaidi.
Habari zaidi juu ya tukio hilo tunaahidi kuwaletea baadaye.
Watu hao ambao walishamiria kuchoma kanisa lote,Wameteketeza viti vyote vya kanisa hilo. Hakuna madhara zaidi.
Habari zaidi juu ya tukio hilo tunaahidi kuwaletea baadaye.
Comments