SERIKALI YAKABIDHI PIKIPIKI 16 JESHI LA POLISI RUVUMA

 Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said  Mwambungu akijaribu kuwasha moja ya pikipiki 16 zilizotolewa  jana na  serikali kwa jeshi la polisi mkoani humo  ili ziweze kusaidia ulinzi katika ngazi ya tarafa,katikati kamanda wa polisi mkoani humo Deusdedit Nsimeki na kulia mstahiki meya wa manispaa ya Songea Charles Mhagama. (PICHA ZOTE NA MUHIDINI AMRI)



Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

OWM–TAMISEMI YASHINDA TUZO YA MABADILIKO YA KIDIJITALI KATIKA TEHAMA AWARDS 2026

NI MAKOSA WANAFUNZI KUFIKA SHULE SAA 1:15 ASUBUHI

VIONGOZI NA WATENDAJI WA MATAWI UVCCM PANGANI WANOLEWA

NMB YAWAUNGANISHA WANANCHI NA HUDUMA, FURSA ZANZIBAR

HIZI HAPA TAKWIMU ZA PETER SHALULILE MCHEZAJI MPYA WA YANGA SC ๐Ÿ”ฐ ๐Ÿ”ฅ