Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu akijaribu kuwasha moja ya pikipiki 16 zilizotolewa jana na serikali kwa jeshi la polisi mkoani humo ili ziweze kusaidia ulinzi katika ngazi ya tarafa,katikati kamanda wa polisi mkoani humo Deusdedit Nsimeki na kulia mstahiki meya wa manispaa ya Songea Charles Mhagama. (PICHA ZOTE NA MUHIDINI AMRI)
๐ฅ๐๐๐ฆ ๐๐๐ง. ๐ฆ๐๐ ๐๐ ๐๐ ๐๐ช๐๐๐๐ก๐๐๐ ๐ช๐๐ก๐๐ช๐๐๐ ๐ ๐ข๐ฌ๐ข ๐ช๐ ๐จ๐๐๐ฆ๐๐๐ ๐ก๐ ๐๐จ๐๐๐๐ ๐๐ก๐ ๐ผ๐ข๐๐๐ก๐๐ฏ๐ ๐๐๐ฉ๐๐๐ช ๐๐ ๐ช๐ช ๐ข๐จ๐ฉ๐๐๐๐ช ๐ฌ๐ ๐พ๐พ๐, ๐ฟ๐ ๐ฉ. ๐ฝ๐๐จ๐๐๐ง๐ช ๐ผ๐ก๐ก๐ฎ "Kwa muda mrefu katika historia ya siasa Duniani kote, nafasi ya mwanamke imekuwa nafasi ya pili kanakwamba utu wake ni nusu..duniani kote ajenda ya kuweka usawa kwa wanaume na wanawake imekuwa mfupa mgumu.." "..CCM kwasababu ya msimamo wetu wa kifalsafa na kiitikadi, usawa wa wanaume na wanawake si suala la hiari ni saula la lazima.." "..katika uongozi wako Rais Dkt. Samia...kitakwimu katika kipindi ulichoingia kama Mkuu wa nchi na Mwenyekiti wa chama (CCM) , kitakwimu angalieni maamuzi, sera, miradi na namna utekelezaji wake ulivyoinua hali za akina Mama.." Dkt. Bashiru ameyasema hayo leo tarehe 9 Septemba 2025 wakati akizungumza na maelfu ya Wananchi wa Singida Mjini waliojitokeza katika uwanja wa Bombadia kumlaki na kumsikiliza Mgombea...
Comments