SERIKALI YAKABIDHI PIKIPIKI 16 JESHI LA POLISI RUVUMA

 Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said  Mwambungu akijaribu kuwasha moja ya pikipiki 16 zilizotolewa  jana na  serikali kwa jeshi la polisi mkoani humo  ili ziweze kusaidia ulinzi katika ngazi ya tarafa,katikati kamanda wa polisi mkoani humo Deusdedit Nsimeki na kulia mstahiki meya wa manispaa ya Songea Charles Mhagama. (PICHA ZOTE NA MUHIDINI AMRI)



Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MATOKEO YA DARASA LA 7 YATANGAZWA

MJUE VIZURI KOCHA MPYA WA YANGA PEDRO

JESHI LA POLISI LATEKELEZA AGIZO LA RAIS SAMIA, LAONDOA KIZUIZI CHA KUTOTOKA NJE BAADA YA SAA 12 JIONI