TUKUMBUKE TULIKOTOKA

 Makomandoo wa Uingereza akiwadhibiti baadhi ya watu waliotuhumia katika maasi nchini Tanzania 1964.

Baba wa Taifa, Hayati Julius Nyerere (katikati) akijiandaa kuondoka nchini kwenda Umoja wa Mataifa (UN) kudai Uhuru wa Tanganyika.
 Baba wa Taifa, Hayati Julius Nyerere (kulia) akimlaki aliyekuwa Rais wa Malawi, Hayati Kamuzu Banda katika moja ya ziara zake hapa nchi.
 Fuvu la Chifu Mkwawa wa Wahehe
 Bendi ya shule moja wilayani Biharamulo 1957. Karibu wote hawana viatu.

 Darsa Chuo cha Mzumbe Morogoro enzi hizo
 Dar es Salaam enzi hizo huo ni Mtaa wa Sokine Drive sasa
Mmoja wa mitaa ya Jiji la Dar es Salaam enzi hizo

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA

UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MSALATO DODOMA KUANZA KUTUMIKA SEPTEMBA 2026

Wasifu wa Kizza Besigye

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA