KAJALA AMUENZI WEMA KWA TATUU YA MGONGONI


Muigizaji wa filamu nchni, Kajala Masanja, ambaye hivi karibuni alinusurika kwenda jela baada ya kutolewa faini ya sh. mil.13 na msanii mwenzake, Wema Sepetu, ameamua kujichora tattoo yenye jina la mfadhili wake huyo mgongoni, Wema kama ishara ya kumshukuru.

Kajala amejichora tattoo hiyo upande wa kushoto mwa bega lake.

Baadhi ya wadau wa sanaa wamechangia juu ya kitendo hicho na kusema kuwa, wanahisi jambo zuri la kulipa fadhila angalau msanii huyo angekuwa na subira angalau hapo baadaye atakapojaaliwa kupata mtotot mwingine basi ampe jina hilo, ambapo angekuwa amejiwe mahala pazuri kwa wengi kumhofia baadaye kupatwa na ugonjwa wa ngozi kwa kujichora Tattoo hiyo.

"Hicho ni kitu cha muda tu, me naona Kajala angefikiria mbali zaidi kabla ya kuchukua maamuzi hayo, kwani yanaweza kumsababishia madhara makubwa hapo baadaye, tunajua analipa fadhila na kuonyesha heshima na shukrani lakini si kujichora tattoo ambazo si tamaduni zetu waafrika ama wabongona hasa ukiangalia issue yenyewe iliyokuwa ikimkabili mahakamani ilikuwa ni serious sana". alisema mmoja wa wadau

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

RAIS WA SENEGAL AWAPATIA ZAWADI NONO WACHEZAJI WALIOFANIKISHA UBINGWA WA AFCON 2025

'MAREKANI IKIJARIBU KUANZISHA VITA NA URUSI ITAANGAMIA'

NYOMI YA WASENEGALI WAKISHANGILIA UBINGWA WA AFCON 2025

MAREKANI YAITEKA MELI YA MAFUTA YA URUSI IKITOKEA VENEZUERA