KAJALA AMUENZI WEMA KWA TATUU YA MGONGONI


Muigizaji wa filamu nchni, Kajala Masanja, ambaye hivi karibuni alinusurika kwenda jela baada ya kutolewa faini ya sh. mil.13 na msanii mwenzake, Wema Sepetu, ameamua kujichora tattoo yenye jina la mfadhili wake huyo mgongoni, Wema kama ishara ya kumshukuru.

Kajala amejichora tattoo hiyo upande wa kushoto mwa bega lake.

Baadhi ya wadau wa sanaa wamechangia juu ya kitendo hicho na kusema kuwa, wanahisi jambo zuri la kulipa fadhila angalau msanii huyo angekuwa na subira angalau hapo baadaye atakapojaaliwa kupata mtotot mwingine basi ampe jina hilo, ambapo angekuwa amejiwe mahala pazuri kwa wengi kumhofia baadaye kupatwa na ugonjwa wa ngozi kwa kujichora Tattoo hiyo.

"Hicho ni kitu cha muda tu, me naona Kajala angefikiria mbali zaidi kabla ya kuchukua maamuzi hayo, kwani yanaweza kumsababishia madhara makubwa hapo baadaye, tunajua analipa fadhila na kuonyesha heshima na shukrani lakini si kujichora tattoo ambazo si tamaduni zetu waafrika ama wabongona hasa ukiangalia issue yenyewe iliyokuwa ikimkabili mahakamani ilikuwa ni serious sana". alisema mmoja wa wadau

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

RAIS SAMIA SIO RAIS JOYCE BANDA WA MALAWI, TANZANIA SIO KENYA

MJUE VIZURI KOCHA MPYA WA YANGA PEDRO

MATOKEO YA DARASA LA 7 YATANGAZWA

JESHI LA POLISI LATEKELEZA AGIZO LA RAIS SAMIA, LAONDOA KIZUIZI CHA KUTOTOKA NJE BAADA YA SAA 12 JIONI