KAJALA AMUENZI WEMA KWA TATUU YA MGONGONI


Muigizaji wa filamu nchni, Kajala Masanja, ambaye hivi karibuni alinusurika kwenda jela baada ya kutolewa faini ya sh. mil.13 na msanii mwenzake, Wema Sepetu, ameamua kujichora tattoo yenye jina la mfadhili wake huyo mgongoni, Wema kama ishara ya kumshukuru.

Kajala amejichora tattoo hiyo upande wa kushoto mwa bega lake.

Baadhi ya wadau wa sanaa wamechangia juu ya kitendo hicho na kusema kuwa, wanahisi jambo zuri la kulipa fadhila angalau msanii huyo angekuwa na subira angalau hapo baadaye atakapojaaliwa kupata mtotot mwingine basi ampe jina hilo, ambapo angekuwa amejiwe mahala pazuri kwa wengi kumhofia baadaye kupatwa na ugonjwa wa ngozi kwa kujichora Tattoo hiyo.

"Hicho ni kitu cha muda tu, me naona Kajala angefikiria mbali zaidi kabla ya kuchukua maamuzi hayo, kwani yanaweza kumsababishia madhara makubwa hapo baadaye, tunajua analipa fadhila na kuonyesha heshima na shukrani lakini si kujichora tattoo ambazo si tamaduni zetu waafrika ama wabongona hasa ukiangalia issue yenyewe iliyokuwa ikimkabili mahakamani ilikuwa ni serious sana". alisema mmoja wa wadau

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

MAMBO MADOGO YANAYOVUTIA KWA MPENZI WAKO

DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025

MAJESHI YA URUSI CHINA NA IRANI YAANZA MAZOEZI YA PAMOJA DHIDI YA MAREKANI

PUNGUZA STRESS....