KINANA, NAPE NA KHATIBU WAFANYA KWELI RUAHA, MORO

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisalimiana na wananchi alipowasili kwenye mkutano wa hadhara katikaKata ya Ruaha, katika ziara ya kikazi  mkoani Morogoro.
 Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye na Katibu wa Oganaizesheni wa CCM, Mohamed Seif Khatibu wakiwasalimu wananchi baada ya kuwasili katika mkutano huo.
 Baadhi ya wananchi wakiwa katika mkutano huo
 Wasanii wa kikundi cha Kidodi wakitumbuiza katika mkutano huo
 Wafuasi wa CCM wakisngailia wakati wa mkutano huo
 Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Kinana akihutubia ba na baadaye kujibu maswali ya wananchi
 Wananchi wakisikiliza kwa makini wakati Katibu Mkuu wa CCM, Kinana akihutubia
 Mwenyekiti wa CCM, Wilaya ya Kilosa, Nassoro Uduleli (kushoto0 akijibu maswali ya wananchi. Kulia ni Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nnauye
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Morogoro, Innocent Kalogeris, akiamuru watu wote walioiba pampu ya maji katika eneo la Ruaha wamakatwe mara moja. PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

KATI YA WATOTO 7 WA HAYATI MAGUFULI ANAYEJULIKANA ZAIDI NI JESCA

KIKOSI KILICHOITWA TAIFA STARS HIKI HAPA

AINA 10 ZA WANAWAKE AMBAO BIBLIA INAKUONYA UWAEPUKE

UBORA UNAONEKANA: BENKI YA NMB YANG'ARA TUZO ZA EUROMONEY 2026

MAJANI YA MAPERA NA MATUMIZI YAKE YA KITIBA

WANAJESHI WAGOMA KWENDA IRAN KUPIGA

MCHIMBAJI MDOGO WA DHAHABU AFANYA MAKUBWA KWENYE HUDUMA ZA AFYA