MAKAMU WA RAIS DKT BILAL, ASHIRIKI SHUGHULI ZA KUAGA MWILI WA MAREHEMU JAJI MSTAAFU JUSTICE ERNEST MWIPOPO KARIMJEE DAR LEO
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa marehemu
Jaji Mstaafu, Justice Ernest Mwipopo, aliyefariki kwa ajali ya gari
April 3, huko maeneo ya Morogoro. Shughuli hizo za kuaga mwili huo
zimefanyika leo April 5, 2013 kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es
Salaam, ambapo baada ya shughuli hizo mwili ulisafirishwa kuelekea
Mkoani Iringa kwa maziko kesho. Picha na OMR
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanaznia, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiwafariji ndugu wa marehemu baada ya kutoa heshima za mwisho, wakati
wa shughuli za kuaga mwili wa marehemu Jaji Mstaafu, Justice Ernest
Mwipopo, aliyefariki kwa ajali ya gari April 3, huko maeneo ya Morogoro.
Shughuli hizo za kuaga mwili huo zimefanyika leo April 5, 2013 kwenye
Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, ambapo baada ya shughuli hizo
mwili ulisafirishwa kuelekea Mkoani Iringa kwa maziko kesho.
Mmoja
wa majaji akibeba picha ya marehemu wakati majaji hao wakishuha jeneza
hilo lenye mwili wa marehemu, ili kuanza shughuli za kuaga katika
viwanja vya Karimjee leo. Picha na OMR
Majaji
wakibeba jeneza lenye mwili wa Marehemu Jaji Mstaafu, Justice Ernest
Mwipopo, wakishusha katika gari kwa ajili ya kuanza shughuli za
kuaga katika viwanja vya Karimjee, leo
Majaji wakibeba jeneza lenye mwili wa Marehemu Jaji Mstaafu, Justice
Ernest Mwipopo, wakishusha katika gari kwa ajili ya kuanza shughuli za
kuaga katika viwanja vya Karimjee, leo
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanaznia, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiongozana na Jaji Mkuu Kiongozi na Jaji Mkuu wakati akiwasili
kwenye Viwanja vya Karimjee leo kushiriki kwenye shughuli za kuaga mwili
wa marehemu Jaji Mstaafu, Justice Ernest Mwipopo, aliyefariki kwa ajali
ya gari April 3, huko maeneo ya Morogoro.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanaznia, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Spika wa Bunge, Anne Makinda, Jaji
Mkuu Kiongozi na Jaji Mkuu wakiwa katika shughuli hiyo ya kuaga
mwili.Picha na OMR
Comments