BALOTELLI AFUNGA MABAO MAWILI AC MILAN IKIUA 4-0 NA KUKATA TIKETI YA KUCHEZA LIGI YA MABINGWA MSIMU UJAO


MTALIANO Mario Balotelli amefunga mabao mawili usiku huu ikiwemo penalti babu kubwa, akiiwezesha AC Milan kupata nafasi ya kucheza Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kuichapa Pescara mabao 4-0.
Mshambuliaji huyo wa zamani wa Manchester City alifunga bao lake la kwanza kwa penalti kabla ya kufunga lingine katika mechi ambayo wachezaji wengine waliowahi kucheza Ligi Kuu ya England Sulley Muntari na Mathieu Flamini walifunga.
Amekuwa na mafanikio tangu arejee Italia na Milan wamekuwa hawafungwi katika mechi ambazo anacheza Serie A, ikishinda nane na kutoa sare tatu. 
Deadly: Mario Balotelli slots home the first of his brace from the penalty spot
Mario Balotelli akifunga kwa mkwaju wa penalti
Top draw: Balotelli and Robinho celebrate going ahead against bottom side Pescara
Balotelli akishangilia na Robinho
Premier League connection: Sulley Muntari also got his name on the scoresheet
Waliocheza England wanatisha: Sulley Muntari akishangilia bao lake
Up for a fight; Balotelli tussle's with Pescara's Marco Capuano in his usual combative style
Balotelli akimtoka Marco Capuano 
Bowing to the crowd: Milan players decide to show their appreciation to the supporters
Wachezaji wa Milan wakishangilia

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI