TUZO ZA SAFARI LAGER ZATUA DAR

 Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi (kulia)  akinyanyua juu kombe baada kulipokea  kutoka kwa Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo, ambalo lilitolewa baada ya bia hiyo kupata tuzo ya ubora kuliko bia zote Afrika mashindano yaliyofanyika Machi 3, mwaka huu nchini Ghana. Hafla hiyo ya kuwaonesha wananchi tuzo ilifanyika katika Soko la Mchikichini Dar es Salaam
 Mushi na Shelukindo wakiwa na tuzo za vikombe

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

RAIS SAMIA SIO RAIS JOYCE BANDA WA MALAWI, TANZANIA SIO KENYA

MJUE VIZURI KOCHA MPYA WA YANGA PEDRO

MATOKEO YA DARASA LA 7 YATANGAZWA

JESHI LA POLISI LATEKELEZA AGIZO LA RAIS SAMIA, LAONDOA KIZUIZI CHA KUTOTOKA NJE BAADA YA SAA 12 JIONI