TUZO ZA SAFARI LAGER ZATUA DAR

 Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi (kulia)  akinyanyua juu kombe baada kulipokea  kutoka kwa Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo, ambalo lilitolewa baada ya bia hiyo kupata tuzo ya ubora kuliko bia zote Afrika mashindano yaliyofanyika Machi 3, mwaka huu nchini Ghana. Hafla hiyo ya kuwaonesha wananchi tuzo ilifanyika katika Soko la Mchikichini Dar es Salaam
 Mushi na Shelukindo wakiwa na tuzo za vikombe

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA