TUZO ZA SAFARI LAGER ZATUA DAR

 Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi (kulia)  akinyanyua juu kombe baada kulipokea  kutoka kwa Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo, ambalo lilitolewa baada ya bia hiyo kupata tuzo ya ubora kuliko bia zote Afrika mashindano yaliyofanyika Machi 3, mwaka huu nchini Ghana. Hafla hiyo ya kuwaonesha wananchi tuzo ilifanyika katika Soko la Mchikichini Dar es Salaam
 Mushi na Shelukindo wakiwa na tuzo za vikombe

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO

MAMBO MADOGO YANAYOVUTIA KWA MPENZI WAKO

DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025

HATUNA HOFU KUCHEZA NA AL AHLY- KOCHA WA YANGA

UWT YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA HOSPITALI YA RUFAA DODOMA