OBAMA AWAAGA WATANZANIA

 Rais Jakaya Kikwete (kulia) na mkewe Salma wakimuaga Rais Barack Obama na mkewe Michelle waliondoka leo kurudi marekani baada ya ziara ya siku mbili nchini.
 Rais Jakaya Kikwete, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadick na Balozi wa Marekani nchini, Alfonso (kulia) wakiipungia ndege iliyokuwa inapaa.
Rais Barack Obama na mkewe Michelle wakiwaaga watanzania leo kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam leo, alipokuwa akiondoka kurudi kwao Marekani baada ya ziara ya siku mbili nchini.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

BREAKING NEWS | MKURUGENZI MTENDAJI WA TANESCO AFARIKI DUNIA

BODI YA LIGI YAKIRI MAKOSA, WAIOMBA YANGA WAYAMALIZE

#MAKINIKIA: HEKAYA FUPI YA MJI WA KIHISTORIA WA MOSHI MKOANI KILIMANJARO

HUU NDIO UKWELI ULIVYO RAFIKI YANGU

BODI YA LIGI SASA WAOMBA HEKIMA NA BUSARA ITUMIKE DERBY YA YANGA, SIMBA

RATIBA KAMILI YA HARUSI YA DIAMOND, ZUCHU

ZIJUE TABIA 9 ZA WANAWAKE HAWA....

TANZANIA NI MIONGONI MWA NCHI 10 ZINAZOONGOZA KWA MAZAO YA KILIMO AFRIKA