MTEMVU AGAWA MISAADA YA VYAKULA KWA VITUO VYA YATIMA TEMEKE

 Mbunge wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu akiwakabidhi msaada wa vyakula watoto yatima wanaolelewa katika Kituo cha Dar Alqaama Tandika katika sherehe ya kutoa misaa kwa vikundi mbalimbali vya yatima, Dar es Salaam hivi karibuni.
                                        Akiwakabidhi watoto wa Kituo cha Hiyari Chang'ombe
                                              Upendo Maganga wakipata msaada huo
                                                                  Upendo Bokolani wakipata msaada huo
                                        Kituo cha WAVIBA KILAKALA wakipokea msaada
                                               Kituo cha Faraja kikipokea msaada huo
 Mwenye ulemavu wa viungo, Zamda akipokea msaada wa vyakula kutoka kwa Mtemvu
                                                  Aisha Shabani akipokea msaada huo
                                        Mwasiti Mtebwa akipata msaada
 Mama Mwandoro akipata msaada
                                                           Ashura Sadiki


Kituo cha Ungindoni kikikabidhiwa msaada wa vyakula na Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

MAMBO MADOGO YANAYOVUTIA KWA MPENZI WAKO

DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025

MAJESHI YA URUSI CHINA NA IRANI YAANZA MAZOEZI YA PAMOJA DHIDI YA MAREKANI

PUNGUZA STRESS....