JK AMWAPISHA NJOOLAY KUWA BALOZI WA TANZANIA NCHINI NIGERIA

 Rais Jakaya Kikwete akimkabidhi zana za kazi baada ya kumuapisha Daniel ole Njoolay (kulia) kuwa Balozi wa Tanzania nchini Nigeria, Ikulu, Dar es Salaam leo.
 JK akimwapisha Bashir Mrindoko kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji
 Rais Jakaya Kikwete akitia saini kiapo cha Naibu Waziri wa Kilimo, Raphael Dalubi baada ya kumuapisha
 Rais Jakaya Kikwete akimwapisha Katibu Mtendaji mpya wa Bodi ya Mishahara na Masilahi, Tamika Mwakahesya.
 Baadhi ya wageni waalikwa wakiwa katika hafla hiyo
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano waKimataifa, John Haule 9kushoto) akijadiliana jambo na Mkurugenzi wa Ulaya wa wizara hiyo pamoja na Steven Wasira (kulia)
 Wageni waalikwa
 Rais Jakaya Kikwete (wa tatu kulia) na Makamu wa Rais, Dk. Mohame Gharib Bilal (kulia kwake) wakiwa katika picha ya pamoja na walioapishwa. Kutoka kushoto ni Dalubi, Mrindoko na kutoka kulia ni Njoolay na Mwakahesya.
 JK akizungumza na Njoolay
 JK akimchukua Mjukuu wa Mrindoko, Keila Kajia (6) wakati wa hafla hiyo
 JK kweli ni mpenda watoto
 JK akizungumza jambo na Makamu wa Rais, Dk. Bilal pamoja na Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba wakati wa hafla hiyo.
JK akizungumza jambo na Makamu wa Rais, Dk. Bilal 9kushoto) pamoja na Njoolay.PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾