YANGA SIMBA NGOMA DROO, WENGI WAZIMIA

 Shabiki mwananke wa Yanga akitolewa kwenda kupata huduma ya kwanza baada ya kuzimia alipokuwa akishagilia bao la pili dhidi ya watani wao wa jadi Simba katika mechi ya  Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo. Timu hizo zimetoka sare ya mabao 3-3.
 Shabiki mwingine wa Yanga akiwa amezimia
 Wapenzi wa Yanga wakishangilioa
 Kikosi cha Yanga kilichopepetana na Simba
 Kikosi cha Simba kilichocheza na Yanga
 Yanga wakishangilia ushindi
 Shabiki wa Simba akiwa amezimia
Kipa wa Simba akishukuru mungu baada ya kusawazisha mabao matatu.PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

Wasifu wa Kizza Besigye