MATUKIO YA MICHEZO YA BANDARI ‘INTER-PORTS’


 Katibu Mkuu wa Dowuta Taifa, Bw. Jonathan Msoma akizungumza na Wanamichezo wa Bandari, katika siku ya kufunga michezo iliyofanyika hivi karibuni katika viwanja vya Sigara Chang’ombe. Kulia ni Kaimu Meneja wa Bandari ya Dar es Salaam, Bw. Awadhi Massawe na Mganga Mkuu wa Mamlaka, Dkt. Mkunde Mlay.
Katibu Mkuu wa Dowuta Taifa, Bw. Jonathan Msoma akisaini mprira kama kumbukumbu ya kufunga michezo ya Bandari iliyofanyika hivi karibuni katika viwanja vya Sigara Chang’ombe. Kushoto ni mwamuzi wa Kimataifa, Othaman Kazi na katikati ni Kaimu Meneja wa Bandari ya Dar es Salaam, Bw. Awadhi Massawe.
 Timu ya mpira wa soka ya Makao Makuu ikiwa katika picha ya pamoja.
Mganga Mkuu wa Mamlaka, Dkt. Mkunde Mlay akisalimiana na wachezaji kabla ya kuanza kwa mechi ya mpira wa miguu.
 Mashabiki wa timu ya Bandari ya Dar es Salaam wakishangilia.
Mstahiki Meya wa wilaya ya Temeke, Maabad Hoja akisoma hotuba yake wakati wa kufungua michezo ya Bandari iliyofanyika katika viwanja vya Sigara hivi karibuni.

Mashabiki wa timu ya Makao Makuu wakishangilia.
Shabiki wa timu ya Makao Makuu, Saidi Janguo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

𝗠𝗕𝗢𝗪𝗘 𝗔𝗦𝗜𝗧𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗠𝗔𝗔𝗡𝗗𝗔𝗠𝗔𝗡𝗢 𝗬𝗔 𝗖𝗛𝗔𝗗𝗘𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗧𝗔𝗥𝗘𝗛𝗘 𝟮𝟯.

KIKOSI CHA CBE KIMEWASILI ZENJI KUVAANA NA YANGA

YANGA YAWASILI SALAMA ETHIOPIA

NDOGO WA MUME WANGU ALIKUWA EX WANGU