TIMU YA OFISI YA MAKAMU WA RAIS YAIADHIBU ISTIQAAMA MABAO 2-1 KWAO

 Kikosi timu ya Ofisi ya Makamu wa Rais
 Kikosi cha timu ya Istiqaama
 Meza kuu ya mgeni rasmi, Balozi msaidizi wa Urusi, Vicent Kalchenko wa tatu (kulia) na baadhi ya viongozi. 
 Katibu wa Timu ya VPO, Neemia Mandia, akisalimiana na mgeni rasmi Balozi msaidizi wa Urusi, Vicent Kalchenko kabla ya kuanza kwa mtanange huo.
 Mtanange ukiendelea, (kulia) ni Sufiani Mafoto na (kushoto) ni Lucas, wakiwadhibiti wachezaji wa Istiqaama. Katika mchezo huo uliochezwa kwenye Uwanja wa Dar es Salaam Zoo Kigamboni nje kidogo ya jiji la Dar, timu ya Ofisi ya Makamu wa Rais ilishinda mabao 2-1, yaliyofungwa na Kifaru katika kipindi cha kwanza.
 Mtanange ukiendelea...
 Nahodha wa Istiqaama, Saleh Omar (katikati) akichuana kuwania mpira na beki wa VPO.
 Nahodha wa Istiqaama, Saleh Omar, akijaribu kumiliki mpira huku akizongwa na beki wa VPO.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

MAMBO MADOGO YANAYOVUTIA KWA MPENZI WAKO

DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025

MAJESHI YA URUSI CHINA NA IRANI YAANZA MAZOEZI YA PAMOJA DHIDI YA MAREKANI

PUNGUZA STRESS....