Mwenyekiti wa Nec, Jaji Damian Lubuva:'“Tumeanza mchakato wa kuboresha daftari kwa kuanza kuhakiki vituo vya uandikishaji wa kupiga kura vitakavyoongezeka kwa lengo la kuvisogeza karibu zaidi na wananchi,”
Nec
imetoa ufafanuzi huo baada ya kuwepo kwa
malalamiko kutoka kwa vyama vya siasa na wananchi kwamba tangu uchaguzi
mkuu wa mwaka 2010, daftari hilo halijawahi kuboreshwa, jambo ambalo
litasababisha upigaji wa kura kwa ajili ya kupata Katiba Mpya kutawaliwa
na vurugu. Malalamiko hayo yanatokana na kuwepo kwa idadi kubwa ya watu
waliotimiza umri wa kupiga kura lakini hawamo katika daftari hilo.Pia
waliopoteza vitambulisho vya kupigia kura na wenye kasoro mbalimbali
zinazowafanya wapoteze sifa.Kwa habari zaidi Bofya na Endelea.......
Comments