Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL), Ephraim
Mafuru (wa pili kulia) akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar
es Salaam. Pamoja naye ni Meneja Masoko wa SBL, Allan Chonjo (wa pili
kushoto).
Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL), Allan Chonjo (wa
pili kushoto) akizungumza na wanahabari leo jijini Dar es
Salaam Shamrashamra ya Uzinduzi wa promosheni ya Shinda safari kwenda
nchini Brazil,kupitia bia ya Serengeti Shamrashamra ya Uzinduzi wa promosheni ya Shinda safari kwenda nchini Brazil
Baadhi ya mabalozi wa Bia ya Serengeti wakionesha shoo kwa wananchi
baada ya uzinduzi wa Shinda safari kwenda nchini Brazil,kupitia bia ya
Serengeti Uzinduzi wa promosheni ya shinda safari kwenda nchini Brazil,kupitia bia ya Serengeti uliofanyika leo.
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, Hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kab
Comments