PICHA ZAIDI YA AJALI ILIYOTOKEA LEO UBUNGO


 Basi la UDA likiwa limebebwa kwa juu katika eneo la tukio
 
Ajari mbaya iliyo husisha magari takribani 5 imetokea maeneo ya ubungo  mkabala na stendi ya mabasi ya mikoani ikihusisha magari ya abiria uda  na gari zingine ndogo mpaka sasa haijajulikana idadi sahihi ya watu walio poteza maisha

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

TOFAUTI YA WATU WA DAR NA WA MKOANI NI HUU

NOTI MPYA KUANZA KUSAMBAZWA MWEZI UJAO

HUYU NDIYE DKT. NCHIMBI, MAKAMU WA RAIS AJAE

CHAKUHAWATA WANENA MAKUBWA--