Waandishi Wamjulia Hali Mwandishi Mwandamizi Pemba.


Waandishi wakiwasili Kijiji kwa Maangwi Kiongoni Shegejuu wilaya ya Wete , kulia Juma Mmanga , Mwarab Mmadi (StarsTV) 
                       Wandishi wakisalimiana na Shekh Masoud Sanani walipowasili Kijijini kwao

Shekh. Masoud Sanani akizungumza na waandishin waliofika kumtembelea kujua hali yake, wakati akipata matibabu, kijiji kwao Maangwi Kisongoni Shegejuu Wilaya ya Wete Pemba, aliyesimama ni Ndg. Juma Mmanga.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

TOFAUTI YA WATU WA DAR NA WA MKOANI NI HUU

NOTI MPYA KUANZA KUSAMBAZWA MWEZI UJAO

HUYU NDIYE DKT. NCHIMBI, MAKAMU WA RAIS AJAE