Abiria waliokuwa wamepanda Mv Magogoni Dar es Salaam jana, wakishuka katika pantoni hilo lililopata hitilafu na kuamua bila ruhusa kuingia kwenye pantoni lingine la Mv Kigamboni. Lakini baada ya nusu ya abiria kuahamia Mv Kigamboni dereva wa Mv Magogoni aliamua kuondoa pantoni bila kutoa taarifa yoyote kama ilivyo kawaida. (PICHA NA KHAMISI MUSSA)
MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA
* Bi Julie Mkulo*Anasikitika kutangaza kifo cha mume wake *Bw.Mustafa Mkulo* kilichotokea Leo *04-05-2024* Katika *hospital ya Muhimbili Dar es salaam* Shughuli zote za mazishi zitakuwa *Msikiti Maamur* *04-05-2024* Maziko yatakuwa jumapili *05-05-2024* Kilosa Morogoro Taarifa zaidi zitatolewa baadae *Inna lillahi wa inna ilayhi rajioon* Pumzika kwa amani Mustafa Haidi Mkulo, Waziri wa zamani wa Fedha na Mbunge wa zamani wa Kilosa.
Comments