HABARI MPASUKOOO!!!!!!! CRISTIANO RONALDO MCHEZAJI BORA ULAYA 2014/15

Mchezaji wa Real Madrid na timu ya Taifa ya Ureno, Cristiano Ronaldo amechaguliwa leo kuwa mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Ulaya (UEFA), KWA MWAKA 2014/15,  wakati wa kupanga makundi ya timu zitakazoshiriki mashindano ya UEFA. Amekabidhiwa tuzo ya mchezaji bora.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

NAMNA YA KUTENGENEZA MAISHA YAKO KIMYA KIMYA

Wasifu wa Kizza Besigye

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

HAKUNA DHEHEBU LA DINI AMBALO LIKO JUU YA LINGINE, MADHEHEBU YOTE YAKO SAWA KISHERIA - RAIS SAMIA