JAKIE;MUME WANGU ANATAKA NIWE HIVI


MUIGIZAJI Jacqueline Pentezel maarufu kwa jina la Jack wa Chuz, amefunguka kuwa mume wake, Gadner Dibibi anapenda mwanamke mwenye mwili mkubwa yaani bonge.

Muigizaji Jacqueline Pentezel maarufu kwa jina la Jack wa Chuz
 
Akizungumza na gazeti hili mwishoni mwa wiki iliyopita, Jack alisema isingekuwa kuilinda ndoa, asingekubali auachie mwili wake aonekane bonge nyanya kiasi hicho alichonacho hivi sasa.
Jacqueline Pentezel akiwa na mume wake, Gadner Dibibi 
 “Napenda sana kumsikiliza mume wangu, chochote anachokihitaji nitakifanya hata kama kipo nje ya uwezo wangu, nitajitahidi tu. Sasa alivyoniambia kuwa anapenda mwili wangu uonekane wenye supu supu na minofu mingi nikakubali ndiyo maana nimejiachia” alisema Jack.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA